Steve Nyerere na Mama Kanumba Wafikia Pabaya.

Baada ya mama wa marehemu Steve kanumba kufunguka na kusema kuwa  mtoto wake alikuwa haongei kabisa na steve nyerere na hata yeye mwenyewe hana mahusiano mazuri na Steve nyerere tangu mtoto wake alipofariki mpaka sasa hawaongei na Steve labda kwa kukutana kwa baahati mbaya.

Baada ya Mama Kanumba kusema hayo , Steve Nyerere aliamua kutupa jiwe gizani huku akigoma kuonyesha alikuwa akimenga nani lakini kwa contenbt yake inaonyesha kuwa alikuwa ni kama anamjibu mama kanumba kwa kile alichokiongea .

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagra, steve nyerere aliandika “ukiona mtu mzima anaongea upumbavu tena mbele ya wajukuu , watoto wake na jamii kwa ujumla  bila kuthamini ukubwa wa jina lake  basi ujue huyo anawashwa washwa sana.”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.