Style ya Nywele ya Vannesa Ilivyompa Faraja Ben Pol

Wakati anaweka style ya nyweel kwa kupaka rangi ya kijani katika nywele zake , watu wengi walikuja juu na kuanza kumkashifu na kumpondea kuwa hajapendeza kabisa ikiwezekana aende akabadilishe kabisa.Lakini  siku zinavosonga style ya kuweka rangi kichwani inazidi kupendwa na wasanii wengine kitu ambacho kinamfanya Ben Pol aone kama vile na yeye sasa amepata wa kumsapoti.

Akionyeshwa kufurahia uamuzi aliouchukua Vannesa Mdee, Ben Pol aliweka picha ya Vannesa katika ukurasa wake wa instagram na kuandika kuwa anazidi kupata faraja akimaanisha kuwa ameshaanza kupata wafuasi wa kumsapoti katika style hiyo mpya ya muonekano wake.

download latest music    

                                                 

.

Uamuzi wa vannesa unakuja siku mbili baada ya msanii Alikiba pamoja na Ommy Dimpozi pia kuambua kuwek style hiyo ya nywele kwa kuamuz kuzipaka rangi, ambapo hapo pia ben pola hakusita kuonyesha furaha yake kuwaona wasanii hao wanafata nyayo zake za fashion.

                                                            

Alichokiandika Ben pol kuhusu muonekano mpya wa alikiba na Ommy Dimpozi

Style hii ya kuweka nywele rangi imezidi kubamba kwa wasanii kwa sababu wasanii wengine walioweka hivi ni pamoja na Harmonize,Lavalava na keysha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.