Sugu Bado Ananipenda:-Faiza Ally Afunguka.

Mwanadada Faiza Ally amefunguka alipokuwa akiongea na waandishi kuhusu mahusiano yake na baba watoto wake Mh Sugu , mbunge wa mbeya ambae amepata nae mtoto mmoja wa kike.

Faiza ambae mara nyingi amekuwa akiongea sana katika mitandao ya kamii akilalamika kuhshu mwanaume huyo kutotimiza mahitaji ya mtoto wake na kwamba amekuwa akimtumia mke mwenzake kutuma mahitaji ya mtoto wake anasema kuwa mwanaume huyo inaonekena anapenda anavyokuwa anamtukana katika mitandao ya kijamii na ndio maana hataki kujirekebisha.

download latest music    

Faiza anasema kuwa kamwe hatoacha kumsema Sugu mpaka pale atakapojirekebisha na kutimiza majukumu yake kama baba.

nadhani sugu bado ananipenda na ndio maana hatimizi vizuri majukumu yake ya malezi na matumizi kwa mwanae shasha.nadhani atakuwa anafurahi vile ninavyomsema na mimi sitakaa niache kumsema mpaka atakapoweza kutimiza mahitahi yake ya malezi.

kama huitaji kuwa na ishu na mtu basi unachopaswa ni kusihi na huyo mtu in a right way,lakini ukiona mt anakutafutia vitu vya kukuumiza ujue bado upo kwenye moyo wake. aweke matumizi ya mtoto kwenye akaunti kila mwezi aone kama mimi nitamsumbua tena.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.