Sugu,Hata Nikisikia Amekufa Sitaenda-Faiza Ally.

Mwanadada asiyeishiwa na drama katika mitandao ya kijamii kila siku Faiza Ally amefunguka na kusema kuwa wala hajaumia kabisa baada ya Sugu kufungwa kwa sababu wao ni maadui hivyo hata haimshtui kumuona Sugu akiwa katika matatizo.

Faiza ambae alibahatika  kupata mtoto mmoja wa kike  kipindi alipokuwa katika mahusiano na Sugu , mtoto  ambae anaishi  naeo yeye mwenyewe kwa mara nyingi wamekuwa wakiingia katika migogoro na sugu kwa madai kuwa baba huyo hataki kutoa matumiz ya mtoto wake huyo.

download latest music    

hata hivyo hivi karibuni Sugu ambae ni msnaii lakini pia ni mwanasiasa na mbunge wa Mbeya ,Mjini alihukumiwa kifumgo cha miezi sita baabda ya kukutwa na hatia ya kutoa maneno ya uchochezi na ya kumkebei raisi.

Akiongea wikiend hii alipokuwa katika usiku wa Vikings Night, Faiza amesema kuwa amekisikia kifunmgo hicho lakini kwake hakijamuumiza kabisa na hata ikitokea siku Sugu akifa wala hataenda katika msiba wake.

sugu kuhukumiwa wala sijahumia  wala ku-fell kitu chochote, ni maadui hata nisikie amekufa sitaenda.

Siku moja baada ya hukumu hiyo, faiza aliandika katika ukurasa wake wa instagram kuwa kinachomuumiza yeye kuhusu matukio ya sugu ni baada ya mtoto wake kwenda dukani na aliporudi alimwambia amemuona baba yake amepanda karandinga lakini kwa upande wake wala haumii na chochote kinachompa mzazi mwenzie huyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.