Msanii wa muziki wa bongo fleva , Abelnago Maarufu kama Belle 9 anasema kuwa mwanadada aliyemchukua katika video yake ya dada ndie aliemchagua kwa sababu ya vile dada huyo alivyo. Belle 9 anasema kuwa amekuwa akivutiwa na wadada wa aina ile katika video zale na ndio maana hata ameweza kumchagua yule.
yule dada mimi ndie niliyemchagua katika video yangu akiwa na maumbile yale,kwa sababu napenda sana wadada wenye maumbile yale.
Bele anasema hayo alipokuwa akielezea wimbo wake wa dada uliotoka mwaka huu ikiwa ni wimbo wake wa kwanza kwa mwaka, na umekuwa ukifanya vizuri