Picha hii ya Diamond Platnumz akiwa mtoto ni dhibitisho tosha kuwa alitambua fashion kitambo

Diamond Platnumz na meneja wake Sallam_SK wanapenda sana kutaniana kupitia mitandao yao ya Instagram. Hivi karibuni msanii huyo mkubwa wa bongo aliweka picha ya yake huku akimtania meneja kuwa yeye alianza kupenda kuvaa jerseys tangu awe mtoto mdogo.

Platnumz aliweka picha hii kwenye mtandao wake wa Instagram huku akimchana Sallam kwa kuwa yeye hajaanza kuvaa shati za strips juzi kama who. Alindika kusema;

Don’t get twister @Sallam_sk I started this strip outfits and chains shit since…..!?
(Mi nawaona tu na nguo zenu za mistari pembeni, na macheni kuyamwaga kwa Shinzo…ila michezo tumeanza kitambo sana?)

Katika picha hiyo, Diamond Platnumz anaonekana akiwa kijana mdogo lakini kulingana na alivyokuwa amevalia, ni kweli kuwa alianza mambo ya fashion kitambo. Tazama picha hii hapa chini.

Chibu Dangote