Wema Sepetu afunguka kueleza kinachomkera kuhusu Tanzania ya sasa

Mrembo wa filamu Wema Sepetu ameonekana kukasirishwa na alichofanyiwa mtu mmoja aliyekutana na yeye mahakamani hivi karibuni.

Wema Sepetu aliweka tweet kadhaa kupitia mtandao wa Twitter huku akionekana kama amekasirika kwa kilichomtokea mtu huyo wakati wa kusikiliza wa kesi ya Mh.Tundu Lissu.

Aliandika tweet hizo akisema;