Peter Msechu asema haya kuhusu mwili wake

Muimbaji wa nyimbo za bongo Peter Msechu ni mwanaume ambaye anajitambua na kujiamini. Msechu alionesha haya hivi karibuni katika mahojiano yake katika kipindi cha 5 selekt.

Akizungumza Msechu alidai kuwa hana tatizo lolote na ukubwa wa mwili wake. Aliendelea kusema haimzuii wakati wa mahusiano ya mapenzi huku akiongeza kuwa yeye hufumiwa kila siku anafumaniwa wanaodai kuwa wana watoto wao. Alisema,

“Wakati Timbulo anasema mshumaa mambo ya kuachwa mimi na Yakawa yaani na wanawake wengi, mimi nafumaniwa kila siku kwa hiyo mimi na nguvu ya kujitahidi kwenda na mwili wangu huu,”

Msechu aliendelea kwa kusema,

“Mimi nafanya sana mazoezi watu wengine ooh Msechu sijui mnene, mimi wanawake mtaani wanaongozana nasingiziwa kila kukicha watoto eti watoto wangu, kwa hiyo msinichukulie poa niko vizuri kila idara.”