“Nitakupa style zote” huu ndio ujumbe aliouandika mke wa Roma

Msanii wa bongo Roma sasa hivi anaonekana kufanya vizuri na wimbo wake mpya aliouachia mwezi Agosti 10th.

Baada ya kuweka wimbo huo YouTube mke wa msanii huyo, Nancy, alitoa ahadi ambayo iliwaacha wengi wameshtuka mitandaoni.

Kulingana na Nancy, video ‘Zimbabwe’ mpya ya mumewe ikipata kufikisha views milioni moja angempa style zote.

Sasa, video hiyo Jana, August 20, 2017 video ya hiyo ilifikisha views milioni katika mtandao wa YouTube tangu ilipoweka. Na kama awali, Nacy kupitia mtandao wa Instagram aliandika;

Finally You Made It #1Milion_Views Ndani ya Week 1 Na siku 3!!! Walahi Mume wangu @roma_zimbabwe#LEO_NITAKUPA_STYLE_ZOTE Kwa Furaha Niliyonayo!!! Hongera Mno!! Much Congrat kwa shemela @nicklassm Nakuona Mbali Saaana!!

 

Mke wa Roma amchana mrembo aliyemkalia Roma akitumbuiza jukuwaani hivi karibuni

Kuolewa na msanii ni kitu ngumu sana kwani unapaswa kuwa na subra ya kuelewa kuwa hiyo pia ni kazi. Hata hivyo mke wa Roma ameonyesha kukerwa na mwanamke aliyemkalia Roma wakati alipokuwa akipiga show yake ya kwanza tangu tokeo lake la kutekwa miezi kadhaa iliyopita.

Mrembo huyu alifunguka kuhusu tekeo hilo kupitia mtandao wake wa Instagram huku akisema kuwa alitamani sana kupanda jukwaani kumshusha yule binti….aliandika kusema,

 

Kuwa Na Mume Msanii Wakati Mwingine Ni #Stress Nyie Acheni Tu Jamani!!!
.
.
Aaaf kuna vibinti ndiyo kama vinafanya makusudi

Kama Huyu!!!
Nilitamani Nipande Jukwaani Nikamshushe.
Sijui Hata alivyombeba alimpeleka wapi!!!!
.
.
Aaaah Ntafanyaje Mie Na Ndiyo Kazi Inayonifanya Niende Saloon!! .
.
By the way uliua…Show nzuri kama kawaida yako
Cc @usimsahau_mchizi_roma@usimsahau_mchizi_roma

Hata hivyo mashabiki wengi walimuunga mkono huku wengine wakimwambia kuwa mambo Kama hayo hutendeka lakini ikiwa Roma ni wake hakuna mwanamke yeyote anaweza kumchukua.

Tazama video hiyo hapa;

https://youtu.be/VA66Muo5-KE