Idris Sultan na Wema Sepetu waendelea kuwatumbuiza mashabiki wao, wanataka kurudiana? (Picha)

Wema Sepetu ambaye ni Tanzania sweetheart na mwanamke maarufu Afrika Mashariki ameonekana kuonyesha uwezekano kuwa bado mapenzi yake kwa Idris Sultan bado yako.

Hii ni baada wawili hao kuonekana mtandaoni wa Instagram wakiongea kwenye comment section. Hata hivyo wawili hao huwa wakitaniana na kulingana na maoni ya mashibiki wao, wawili hawa wanaweza kurudiana.

Kwa sasa hakuna anayejua mpenzi wa Wema Sepetu ama Idris Sultan lakini wengi wanapaswa kuridiana kwa sababu mapenzi yao hayafichiki. Tazama baadhi ya comments zao hapa chini;

Picha Hizi ni Ishara tosha kuwa Wema Sepetu ni Binti Mrembo Zaidi Tanzania

Ingawa ni mwanamke ambaye amekuwa na scandals mingi, ni kweli kuwa Wema Sepetu ni binti ambaye ameumbwa kama malkia na ambaye anatambulika Afrika Mashariki na wengi.

Alipoanza career yake kama model sio wengi walidhania kwamba binti huyu angeleta mabadiliko mengi katika burudani ya Bongo. Wema Sepetu si model tu bali mwigizaji na kwa hivi mwanasiasa.

Hata hivyo, yeye ni fashion killa na mwanamke ambaye anajitambua. Akitembea mitaani watu wengi huduwaa kutokana na urembo alionao.

Nimeweza kupata picha kadhaa kama mfano kuonyesha mbona Binti huyu anaurembo watu wengi hutamani. Ingawa hukubaliani na mimi, pia ni sawa kila mtu ana maoni yake. Tazama picha hizi hapa.