“Mkome kunihusisha na watu wasio jua kitu chochote kuhusu maisha yangu” Wema Sepetu awaonya mashabiki

Mrembo Wema Sepetu ambaye sasa ameingia kwenye siasa hici juzi aliwaonya mashabbiki ambao wamekuwa wakimhusisha na mambo yasiyo na mbele au nyuma.

Kupitia mtandao was Instagram Wema Sepetu aliandika ujumbe mrefu huku akiwaomba mashibiki wakome kumfikiria kuwa yeye anamahusiano na Kibabude. Wawili hawa walikuwa wanashukiwa kuwa wanamahusiano baada ya kuonekana wakiwa pamoja mara kadhaa.

Wema aliandika kusema…

They Say Silence is The Best Weapon but sometimes Silence can mislead you…. Just sometimes though…. Anyways, Y’all better stop involving me with people who dont know a pinch abt my life… Im a People’s person, Talking to everyone & laughing with everyone is what I do… Mwisho wa siku hakuna binadamu aliekamilika chini ya jua… Y’all know Im a sweetheart like that… So lets nat misunderstand one another…. I hope we are Clear…. If there is anything anyone would like to ask then Download my app and subscribe…. I just cant wait for iOs users to join our Family…. There’s gon be sooo much FUN….!!!

Kibabude ata yeye amekana kuwa mpenzi wa Wema na akaelezea kuwa kwa hivi sasa amerudiana na mama watoto wako. Kwa hivyo kwa sasa hataki drama mitandaoni itakayo vunja familia yake.