Tanzia- Msanii Sam Wa Ukweli Afariki Dunia

Msanii wa Bongo fleva Sam wa Ukweli aliyefanya vizuri na vinaigrette vyake kama ‘Kwetu wapo’ na sina raha amefariki dunia.

Sam wa Ukweli ameaga Dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Palestina Sinza baada ya kuugua kwa muda mrefu, mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya Mwananyamala.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv, Producer wa marehemu Steve aliyekuwa akifanya kazi na Msanii huyo alifunguka kuhusu maradhi yaliyokuwa yanamuandama marehemu:

Sam alianza kuzidiwa tokea J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini alisema UKIMWI lakini sio Ukimwi wa kawaida bali ni ukimwi wa kulogwa”.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina. R.I.P Sam.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.