TANZIA- Mtoto wa Muna na Casto Dickson Afariki Dunia

Mtoto wa msanii na Mfanyabiashara Rose Alphonce Nungu maarufu kama Muna Love na Mtangazaji wa Clouds Tv Casto Dickson aliyekuwa anaitwa Patrick amefariki dunia siku ya jana.

Patrick ambaye alikuwa anaumwa miguu kwa muda  Alizidiwa mwishoni mwa wiki iliyopita na kupelekwa nchini Kenya, Nairobi kwa ajili ya matibabu.

download latest music    

Baada ya kukaa hospitali kwa siku kadhaa usiku wa jana Zamaradi alitangaza kwa Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa mtoto Patrick aliyekuwa ana miaka saba amefariki dunia.

Mwili wa marehemu unatarajiwa kufika nchini siku ya Alhamisi kwa ajili ya maziko.

Mwenyezi Mungu ailaze mahakama pema peponi Amina.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.