Tanzia- Sugu Afiwa na Mama Yake

Mnunge wa Mbeya Mjini na msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amedaiwa na mama yake mzazi.

Mama yake na Sugu alifariki siku ya jumapili Agosti 26, 2018 katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu kwa muda mrefu.

download latest music    

Taarifa ya kifo hicho, imethibitishwa na Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano ya umma na huduma kwa wateja katika Hospitali ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha.

Sugu Akiwa na Mama yake enzi za unaishi wake

Mwenyezi Mungu Ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.