Tattoo Mpya Ya Irene Uwoya Yazua Gumzo

Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya amezaa gumzo kwenye mitandao ya kijamii Baada ya kuanika tattoo yake mpya aliyochora katika siku za hivi karibuni.

Siku ya jana Kupitia ukurasa wake wa Instagram Irene alianika tattoo yake mpya aliyochora kwenye maeneo ya pans kwa nyuma kutokana giographia ya sehemu tattoo ilipo mara moja ilisababisha gumzo.

download latest music    

 

Kuna baadhi ya mashabiki walimjia juu Uwoya kwa kuacha sehemu kubwa ya maungo yake wazi hasa kwa sababu tattoo hiyo ameichora maeneo ya mapaja karibia ya makalio huku wengine hata wakihoji ni nani aliyepata bahati ya kumchora tattoo.

Mpaka sasa Uwoya hajaweka wazi maana ya tattoo hiyo ambayo amechora bastola.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.