Tausi , Uwoya Waionja Polisi kwa Masaa Mbeya.
Mwanadada Irene uwoya na Tausi Mndegeleko wamejikuta wakiingia katika wakati mgumu baada ya wasanii hao kusemekana kuwa walizidisha muda wa tamasha ambalo lilikuwa likiendlea mkoani huko kama mwanadada Irene ambae alikuwa akipost sana kuwa kwa wikiend hii alikuwa Mbeya.
Hata hivyo taarifa za wali zilizokuja ni kwamba wasanii hao walikamatwa na baada ya muda walifanya mazungumzo na mamlaka husikia kutokana na kosa hilo la kuzidisha muda na kisha kuachiwa huru huku tamasha tayari likiamuriwa kufungwa kutokana na muda.
Kufuatia mamla husika kuamua kufuatilia sana maswala la ukiukaji wa sheria watu wengi wataonekana kuumia lakini ni kutokana na kutokubali kwao kufuata sheria.