Tazama Jinsi Zari Alivyofanya Birthday Party Ya Kifahari Uganda

Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ ambaye ni mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefanya party la kifahari nchini Uganda.

download latest music    

Zari ambaye alisheherekea Birthday yake tarehe 23 Sepetemba lakini aliungana na Familia yake inayoishi nchini Uganda kwa ajili ya Kusheherekea na ndugu zake na marafiki.

Sherehe hiyo iliyofanyika katika hoteli ya kifahari ilihudhuriwa na marafiki na ndugu kadhaa wachache ambapo watu maarufu walikuwa ni pamoja na  Captain Mike Mukula, dada wa Zari, Aly Alibhai na mkewe, Sylvia Wilson Namutebi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.