Tazama Picha na Video za Diamond na Zari Kwenye Mahaba Mazito Wiki Moja Baada ya Kumuita ‘Player’

Mwanamuziki machachari wa Bongo fleva nchini Diamond Platnumz anayetamba na vibao vyake alivyovitoa kwa mpigo redio amerudi katika vichwa vya habari na mpenzi wake mrembo azarinah Hassan.

Wiki iliyopita Zari ambaye makazi yake yapo nchini South Africa alitumia mtandao wa Snapchat kumpiga madongo baba watoto wake Diamond kwa kumuita player ‘kicheche’ kwa vitendo vya kuchepuka na wanawake wengine jambo lililofanya wengi waamini kuwa wapendanao hao wameachana.

download latest music    

Wikiendi iliyopita Zari alionekana kakanyaga ardhi ya Tanzania na moja kwa moja picha za wawili hao zilianza kusambaa zikiwaonyesha wakiwa katika mahaba mazito hasa pale waliposimamia harusi ya kaka yake  na Diamond, Rommy Jones na Kay.

Hizi ni baadhi ya picha zikiwaonyesha Diamond na Zari katika mahaba mazito:

 

 

 

 

 

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.