Tazama Picha Za Harusi Ya Alikiba na Abdu Kiba

Siku ya jana tarehe 29/04  Staa wa muziki wa Bongo fleva AliKiba na alitimiza sherehe ya mwisho ya ndoa yake na mrembo kutoka Mombasa Amina Lakini pia harusi hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Serena Hotel.

Lakini pia kilichovutia watu wengi haikuwa tu sherehe kwa ajili ya Ali Kiba na mkewe Lakini pia mdogo wa ALikiba Mwanamuziki Abdul Kiba ambaye na yeye alionekana na mke wake Ruwayda.

download latest music    

Harusi hiyo ilirushwa Love Kwenye chanel ya Azam na pia ilihudhuriwa na mastaa mbali mbali kama vile Mama Salma Kikwete, Ummy Mwalimu, Idris Sultan, Vanessa Mdee na Mimi Mars na wengineo.

Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.