TCRA Watoa Onyo Kali kwaTimes Fm Na Clouds Fm

Kamati ya maudhui ya TCRA wametoa adhabu na onyo kali kwa vituo viwili vya habri vya times fm na Cloud fFm baaada ya kuonekana kurusha vipindi vilivyoshindwa kufuata maudhui ya utangazaji.times fm ambao walitangaza mahojiano ya msanii Diamond Platinumz ambae alifunguka na kuongea majibu yaliyoonyesha kujibu kwa dharau uamuzi wa Naibu Waziri wa habari baada ya nyimbo yake na baadhi ya wasanii wenzake kufungiwa.

Times Fm kupiti akipindi chake na muda ule wanapaswa kumuomba Naibu Waziri Mh Juliana Shonza msamaha kwa maneno achafu yaliyotamkwa na msanii huyo na kutaruhusu kutoka katika jamii na kuwaomba msamaha jamii kwa ujumla.

download latest music    

Lakini pia Clouds Fm wamepewa onyo kali baada ya kutoa taarifa iliyokinzana mizani kati ya Roma na Mh. Naibu Waziri wa Habari baaada ya Roma kufungiwa kutokufanya kazi kwa miezi sita.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.