TDFAA Wakanusha Taarifa za Kifo cha Mzee Majuto.

Kumekuwa na taarifa ya kifo cha Mzee Majuto katika mitandao ya kijamii  ilhali ni uongo kwa sababu mzee majuto tang ametoka nchini india bado yupo katika hospitali ya Muhimbili na anaendelea vizuri na bado yuko chini ya uangalizi wa madaktari.

Baada ya kuzushwa kwa taarifa hizo za kifo,Chama cha wasanii na waigizaji wametoa taaraifa ya kusikitishwa kwao na taarifa hizo “chama cha uigizaji kinasikitishwa na taaraifa zinazosambaa za uzushi zinazosambaa katika mitandao kuhusu kifo cha mzee majuto na kukanusha taarifa hizo kuwa si za kweli.mzee majuto yupo hai na yupo nyumbani kwake.

download latest music    

Mzee Majuto aliyekwa akisumbuliwa na ugonjwa wa tezi dume alifanyiwa upasuaji nchini lakini kidonda kilishindw kupona kwa haraka hivyo kulazimu kupelekwa nchini India kwa matibabu zaidi na alirejea siku kama mbili zilizopita.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.