TID Awashukia Diamond na Wasanii Wengine Wanatumia Jina La Mnyama

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Khalid Mohamed maarufu kama TID amewatolea povu Wasanii Wenzake kama Diamond na wasanii wengine wengine ambao wamekuwa Kwenye mgogoro juu la majina ya wanyama na kudai yeye ndiye mwanzilishi.

Siku za nyuma ulishawahi kutokea mgogoro wa majina baina ya wasanii ambapo baada ya Diamond kujiita simba wasanii kadhaa walidai wao ndio walikuwa simba kabla yake.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Bongo 5, TID amefungukia wasanii wanaojiita wanyama na kudai wao wamemuiga yeye kwani alipewa jina la Mnyama miaka kumi iliyopita:

Mimi jina la mnyama nimepewa miaka kama kumi iliyopita ndio maaana sasahivi unaona kuna wanyama wengi wanajitokeza tokeza because they like the swagg, they feel the swagg, they feel the talent.

Walikuwa wanataka kuwa mimi huko nyuma na wanataka kuwa kama mimi mpaka leo, so Mnyama is my brand yaani nikitokea watu wanajua Mnyama halafu ndio wengine wanakuja sijui petty anaimals sijui domestic animals”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.