Tofauti na Ushonaji , Wolper Pia ana Kipaji Hiki.

Mwanadada Jackiline Wolper ameweka wazi katika ukurasa wake wa instagram kuwa pamoja na kwamba amekuwa na kipaji cha kushona na ndicho anachofanyia kazi kwa sasa lakini kipaji chake kikubwa ni  upambanaji na yuko njiani kufanya jambo kuhusu swala hilo.

Jacky ambae kwa sasa amekuwa akifanya vizuri ndani na nje y nchi kupitia kazi yke ya ushonaji, amekuwa moja ya wasanii wa kugwa kutokana na kazi hiyo huku akisem kuwa ana mpango wa kuwaonyesha watu kuwa ushonaji sio kipaji kikubwa kama ilivyo kupamba.

download latest music    

wapendwa msiojua kipati changu kikubwa zaidi ya kile cha fashooon na uiguizaji, niwajulishe leo kuwa nina derco yangu , yaaani ninafanya derco mpaka najishangaa, wakati naangaika na maisha nilishapigaga sana kazi ya upambani na nilichokuwa naambulia ni misifa na nauli ya kurudia nyumbani…

Hakithibitisha hilo katika ukurasa wake wa instagram, wolper alisema kuwa  ipo siku ana amini kuwa atauaja kupamba ikulu wa rais.

..siku zinazokuja hii dream lazima  nije kuifanya wala sio ombi ninachomuomba Baba ni uzima tu na afy njema…nitapamba kumbi zote hata ile ya rais atakapokuwa na shughuli, nakuamuru shetani fungua njia nipite katika ndoto yangu,

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.