Tuliokulia Uswahilini Ndio Tunafanikiwa Kimaisha :-Kidoa

Mwanadada Asha Salum maarufu kama Kidoa amabe amepata zaidi umaarufu kutoka katika tamthilia ya Huba amefunguka na kujisifia na kuringa huku akisema kuwa anaona fahari sana kwa maisha yake ya kukulia uswahilini kwa sababu anaona mafanikio yake kwa sasa.

Kidoa anasema kuwa kuna watu wengi amekuwa akiwaona wakikulia maisha ya uswahilini ambao kwa sasa hivi wanafanya vizuri kimaisha na hata ukiwalinganisha na wale waliokulia maisha safi kuna kuwa na utofauti mkubwa.

download latest music    

Kidoa anasema kuwa hatokaa kamwe hajute kukulia uswahili kwa sababu maisha ya huko yanawafanya kila siku kufikiria kitu kipya katika maisha.

unajua kuwa ukiwaona wasichana wengi wamefanikiwa unaweza usiamini kama wametokea uswahilini, tena kwenye maisha ya tau sana lakini ndio wanakuwa kioo cha jamii.kwa mfano kama leo uweiz kuamini kuwa mimi nimetokea uswahilini kweny kila kituko lakini leo hii ninaweza kusimama mbele za watu na nikaongea kitu na kusikilizwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.