Tumfanyie Wema Maombi kwa Ajili ya Toba :-Mchungaji Mashimo
Mchungaji aliyejulikana kwa jina la mshimo mkoani Dar Es Salaam amefunguka na kusema kuwa kwa sasa wanahitaji kumfanyia Wema Sepetu moambi kwa ajili ya kuapta msamaha na toba ya mambo yake na dhambi zake zote lakini wanaotaka kumuombea zaidi inabidi wafunge na kusali.
Wamekuwa wakijitokeza wachungaji mbalimbali kwa hizi siku za hapa karibuni hasa baada ya mwanadad wema sepetu kuingia majaribuni katika swala zima la maisha yake na kutaka kumsaidia kwa kufaya nae maombi lakini mwanadada huyo amekuwa akikataa .
Tumemfanyia maombi Wema kwa sababu ya toba, lakini haya ya pli ni kwa ajili ya kufunga na kuomba lakini haya ya pili ni kwa ajili ya kufunga na kuomba kwa ajili ya kuchafuliwa jina lake.
Ikumbukwe kuwa kuna kipindi yaliandaliwa maombi kwa ajili ya Wema sepetu katika moja ya makanisa ya kilokole huko jijini Dar lakini ilishindikana kwa sababu Wema hakutaka kuonekana katika maombi hayo akidai kuwa hakuwa na taarifa za maombi hayo.