Tunda Afunguka Skendo ya Kutoa Mimba Zaidi ya Nane

Baada ya picha nyingi kusambaa za mrembo Tunda akionea kuwa karibu na moja ya watangazaji wa vipindi pendwa vya Clouds Tv ,  Casto Dickson maarufu kama Sizkitaa, na kuonyesha kuwa mrembo huyo ni mjamzito , Tunda akumbwa na skendo ya kuwa anatoa mimba nyingi kila anapopata mimba na kusemekana kuwa mimba hizo zimeshafika nane mpaka sasa.

Akizungumza na Risasi, Jumamosi ya wikiend iliyopita mwanadada huyo amesema kuwa sio kweli kuhusu tuhuma hizo kwasababu hajawahi kutoa mimba hata siku moja.tunda nasema kuwa hata kama wanamzushia skendo kama hiyo haiwezekani mtu mmoja kutoa mimba zaidi ya nane.

download latest music    

Jamani kweli mtu anaweza kutoa mimba nane tena kwa kipindi cha muda mfupi tu,sidhani kama unaweza kuwa binadamu sahihi kabisa na binafsi sijawahi kutoa mimba kama watu wanavokuwa wanadai.

Tunda nasema kuwa inawezekana watu wanakwa wanamsema kutokana nkuwa tumbo lake kwa kipindi kirefu limekuwa  kubwa hivyo wakawa wanahisi hivyo  lakini kua kipindi amekuwa akifanya mazoezi na linapungua.

Hili tumbo wanaweza kuwa wanalishangaa lakini ni kubwa siku zote liko hivyo tena hasa kama sijafanya mazoezi muda mrefu na pia sijinyimi kwenye kula chakula kabisa, linakuwa kubwa .

Lakini pia tunda anasema kuwa watuwamekuwa wakimsingizia lakini yeye mwenyewe wala hajawahi kushika mimba hata mara moja “mimi napenda watu wafahamu kuwa sijawahi kushika mimba ya mtu yeyote kama wanavyosema  siku zote na wala sijawahi kutoa maana tumbo langu ndivyo lilivyo.”

Kwa kuonyesha kujiamini kabisa Tunda aliamua kumuweka wazi mtu ambae kwa sasa yupo nae katika mahusiano kuwa ni casto dickson.”kwa sasa hivi mtu wangu ni  Casto Dickson, maneno mengine sitaki kabisa kuyasikia kwa sababu huyu ndo natarajia kuzaa nae.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.