Ujumbe Mzito Wa Vanessa Mdee Kwenda Kwa Jux Katika Siku Yake Ya Kuzaliwa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayeendelea kufanya vyema na albamu yake ya ‘Money Mondays’ Vanessa Mdee amemtumia ujumbe mzito mpenzi wake Juma Jux.

Ikiwa siku ya Jumamosi Jux alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa Vanessa alihakikisha anaifanya siku ya mpenzi wake inakuwa nzuri kwani alimtumia ujumbe mtamu wa kimahaba.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Vanessa aliandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BnLRwOEggkY/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1aryoqv2i9apu

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.