Ujumbe wa Wastara kwa Sajuki.

Mwanadada Wastara Sajuki amefunguka na kuandika ujumbe mzito kwa mume wake aliwahi kuwa nae kwa mahusiano kwa mud refu lakini kwa bahatri mbaya mwanaume huyo alifariki Dunia na kumuacha mwanadada huyo akiwa mjane na kuhangaika sana na maisha hasa baada ya kupata ulemavu wa mguu.

Mwanadada huyo anaonyesha kumkumbuka sana mwanaume wake huku akisema kuwa hata watoto wake mara zote wamekuwa wakimuulizia sana baba yao , na hata  kumuita baba yao muongo kwa sababu mara zote amekuwa akiwaambia kuwa atarudi.

download latest music    

Baba, watoto wamekumiss sana watoto wako Farheen anasema urudi basi maana sasahivi huku duniani uongo unaaminika zaidi kuliko ukweli wenyewe. Hujui kama hauwezi kurudi tena na hataki kukubali ukweli nikimwambia uongo ndio ananielewa japo sipendi kuongea uongo. Siku ya kutoka moyoni mwangu ni siku nitakayozikwa. Miss you

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.