Ukiwa Hauna Maamuzi Kwa Mkeo ni Jambo Jema.:-Dogo Janja

Mwanamuziki Dogo Janja ambae ni mume wa mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kusema kuwa yeye ndio mwanaume katika ndoa yake na ana sauti kama mwanaume kuliko hata watu wanavyofikiria na kusema katika mtandao ya kijamii.

Dogo Janja anasema kuwa ni bora kutokuwa na sauti kwa mkeo kuliko kutokwa na sauti kwa hawara maana hiyo haileti maana yoyote.

download latest music    

Ukiwa hauna sauti na maamuzi kwa mke wake ni halali kuliko kutokwa na sauti kwa hawara, mimi nina mtii mke wangu na yeye anafanya hivyo hivyo, kwenye familia yngu mimi ninasimama kama baba.-Aliongea Dogo janja akiwa katika kipindi cha FNL Kinachorushwa na EATV kila ijumaa na Sam Misago.

Baada ya sakata la irene kuweka katika mtandao picha iliyokuwa ikimuonyesha sehemu kubwa ya mwili wake nje , watu walizuka na kusema kuwa mwanamke huyo anafanya hivy kwa sababu mme wake hana sauti kwa mkewe.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.