Umaarufu Haunipi Ninachokitaka :-Bright

Mwanamuziki Bright amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya sanaa na muziki amefunguka na kusema kuwa sababu kubwa ya yeye kukosa gari hadi sasa ni kwa sababu amekuwa maarufu lakini hana kile anachokitafuta kwa muda wote.

Bright anasema kuwa umaarufu alioupata sio sawa na kile anachokipata kimslahi kitu ambacho kina vunja sana moyo wa kujituma na kufanya kazi.

download latest music    

Bright wa sasa sio wa mika ya nyuma, lakini pia umaarufu nilionao hauendani kabisa na kile nilichonacho, bado sijapata pesa kubwa hivyo  ya  ya kwamba ninaweza kununua hata gari.

Hata hivyo mwanamuziki huyo amegoma kabisa kuzungumzia uongozi wake wake wa Fundikila ingawa habari chini ya kaeti zinasema wawili hao kwa sasa hawaelewani.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.