Ushaur wa Calisah kwa Mshindi Mpya wa Miss Tanzania.

Mwanamitindo Calisah alipata bahati ya kuongea na moja ya waandishi wa habari waliokuwa wakihoji watu mbalimbali katika ukumbi uliofanyikia mashindano ya Miss Tanzania mara baada ya mashindano kuisha ambapo mwanamitindo huyo alifunguka mambo maziti na kusemakuwa hasiige mkumbo wa ma-miss waliopita.

hasigawe sana chini,h asiwahi sana kugongwa ili kupata mafanikio kwa sababu kama kitu kipo kipo tu wala asiwe na haraka, kuna msanii aliwahi kusema kuwa wakujichunga ni wewe je umekosa cha kuuza mpaka ujiuze mwenyewe?, watumie vitu vyao vizuri ili waweze kufikia malengo yao wasivitumie ili kupata mafanikio kwa haraka .

Maneno ya calisah yanakuja kutokana na skendo nyingi sana zimekuwa zikiwapata ma-miss waliowahi kushinda huko miaka ya nyuma na kupata umaarufu ambao mwisho wake unashindwa kuwapatia heshima ya taji kubwa la kuwa Miss Tanzania kama waliowakabidhi wanavyokuwa wakilieshimu na kuwapatia.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.