Usipomshirikisha Diamond Utamshirikisha Nani :-Lavalava

Msanii wa muziki kutoka kundi la WCB lavalva amefunguka na kusema kuwa hivi karibuni anategemea kufanya nyimbo nyingine ukiaachana na ile aliyotoa hivi karibuni na wimbo huo anategemea kumshirkisha bosi wake Diamond platnumz.

Lavalva anaonekana kumsifia sana bosi wake kwa kusema kuwa katka muziki wa bongo ukifanya nyimbo usipomshirikisha Diamond utamshirikisha nani mwingine.

download latest music    

Akiongea na na waandishi anasema ” wimbo na Simba nitatoa hivi karibuni shida ya simba bwana wala hazoeleki kabisa na usipomshirikisha simba utamshirikisha nani mwingine kwenye muziki huu wa bongo.

Katika kundi la WCB ni lavalva pekee ndie ambae bado hajafanya wimbo na Diamond zaidi ya ule wa jibebe walioimba wakiwa wasanii wa kundi lote.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.