Utani wa Idris kwa Shiloleh

Mchekeshaji Idris Sultan amemtania Shiloleh huku akimsifia kama mwanamke jasiri anaejiamini na kujituma kuliko wanawake wengine waliozoea kuletea kila siku.Hii inakuwa sio mara ya kwanza wa baadhi ya wasanii kugundua umuhimu wa Shiloleh katika jamii.

Pamoja na kwamba Idris aliandika maneno haya kwa njia ya utani lakini imeleta hamasa sana kwa vijana wengine na kuweka gumzo katika mitandao ya kjamii,

download latest music    

Ana nyumba, ana biashara kama tatu, ana watoto watatu na ameolewa  ni marufu na pia ni baby face .mimi nina kiingereza tu hapa , tuendelee kuendekeza ujinga tutajua nani anamcheka mwenzie.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.