Utovu wa Nidhamu Wasabisha Empire Kumsimamisha Kazi Ruby.
Meneja wa kundi la The Mafik na pia mkurugenzi wa lebe l ya empire amefunguka na kuthibitisha taarifa kuwa msanii Ruby amesimamishwa katika lebel hiyo huku sababu kubwa ikiwa ni utovu wa nidhamu,.
Meneja huyo anasema kuwa nidhamu imekuwa ikijumulisha vitu vingi hivyo hawezi kusema moja kwa moja ni upande gani hasa lakini hiyo ndio sababu kubwa.
tumemsimamisha ruby lakini sio kumfukuza , ila amesimamishwa kwa muda na sababu kubwa ni nidhamu tu hakuna kitu kingine.kuhusu nidhamu inakuwa na vitu vingi kwaio ina mambo mengi siwezi kusema kuwa ni kitu kimoja tu.
Ruby ambae hata hapo awali aliwahi kuripotiwa kushindwa kufanya kazi na THT na kusimama katika muziki kwa muda mrefu sababu ilikuwa ni hiyo hiyo ya nidhamu lakini inaonekana kuwa ilishindikana.