Uwoya Atangaza Mauaji Mahusiano Yake Yajayo

Mwanadada Irene Uwoya ametangaza kuwa kwa mahusiano yake yanayokuja baada ya yale yaliyokufa lati yake na Dogo Janja ni lazima kuna mambo mawili yanaweza kufanyika katikati yaani  kuolewa kabisa au kuua.

mwanadada irene anasema kuwa kwa sasa ameshachoshwa na mahusiano yasiyokuwa na tija kabisa hivyo anaona kuwa kama anataka kuingia katika mahusiano kwa sasa inaweza kumfanya kufunga ndoa na kutulia kabisa au kuamua kuua kwa sababu tu yanaweza kuwa yameshinda.

download latest music    

katika ukurasa wake wa instagram, Irene aliandika “My next relationship will either lead to marriage or  my first murder  beacause am tired.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.