Uwoya Kumwaga Ajira Waziwazi

Msanii Irene uwoya ameamua kutoa ajira kwa vijana 30 watakaofanya kazi katika club na bar yake ambayo iaanza kufanya kazi mwishoni mwa mwezi huu february.

Irene uwoya mabae alitakiwa kuifungua club hiyo tangu december mwaka uliopita alishindwa kutokana na baadhi ya mambo kutokamilika lakini kwa sasa kila kitu kinaenda kuwa sawa na ataajiri vijana wengi katika bar hiyo.

download latest music    

Akiongea na waandishi, majaji  wa zoezi hilo Mariamu ismail na  Johari chagula wanasema  kuwa mamia ya vijana wamejitokeza katika usaili na wamefanikiwa kuendesha zoezi hilo salama kabisa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.