Van Vicker Kuwasiri Kesho Kwenye Birthday ya Wema.

Msanii mkubwa kutoa Nigeria Van Vicker anatarajiwa kuwasili mwisho wa mwezi huu  nchini tanzania huku dhumuni kubwa likiwa ni kuhudhura kumbukumbu ya siki ya kuzaliwa ya mwanadada wema sestu na pia kufanya uzinduzi wa filamu kubwa iliyowahi kutangazwa sana katika mitandao.

Filamu hiyo ambayo imewakutanisha wema na Van Vicker ilitangazwa sana hapo kipindi cha nyuma lakini haikutoka , hivyo msanii huyo anapokuja sasa atafanya pia uzinduzi wa filamu hiyo.

download latest music    

Akiongea na EATV Wema anasema kuwa van vicker atawasili jijini saa 10 alfajiri na kupokeklewa na watu mbalimbali akiwepo yeye mwenyewe, ikifuatiwa na kumpepeleka sehemu kwa ajili ya kupumzika huku wakifanya maandalizi ya siku husika  ambayo ni september 28 .

Wema anasema kuwa Van Vicker atatembezwa katika vituo mbalimbali vya habari kwa ajili ya interviews, lakini pia katika siku yake hiyo anatarajia kuona viongozi mbalimbali pia wakiwepo katika shughuli hiyo kubwa.

hii ni mara ya pili sasa Wema Sepetu kuleta msanii kubwa kutoa nigerai ambapo mara ya kwanza alimleta Omotola Ajalade Ikende.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.