Vannesa Atoa Siri ya Penzi Lake na Jux Kudumu kwa Muda Mrefu.

Vanesa mdee na Jux ni moja ya couple pendwa sana tanzania katika tasnia ya bongo fleva, kila mtu amekuwa akiwangalia wao kama mfano wa wasanii wengine kutokana na jinsi walivyoshikanama na kufanya kazi pamoja na zikaonekana kwa jamii lakini pia kwa mashabiki wao pia.

Pamoja na kwamba kuna changamoto wanakutana nazo lakini hizo hazijawahi kuharibu penzi lao au kazi wanazopanga kufanya , lakini hii ni siri kati ya wapenzi hao na nini kinawafanya kushikamana kila siku bila kuvunjika.

download latest music    

Vanesa Mdee anaamua kuweka wazi swala lao la wao kuwa katika list ya strong couple inayopednwa sana na kusema kuwa siri kuwa kati yao ni kwamba kila mmoja anamchikulia mwnzie kama rafiki na sio wapenzi tena , hivyo inakuwa rahisi kwao kujuana na kuelewana kuliko wangeamua kukaa kama wapenzi.

Kwa Vannesa na Jux, ukaribu wa kuwa marafiki una maana kubwa  kuliko kutanguliza mapenzi na ndio maana wameweza kufanya kazi pamoja kwa sababu wanaamini kuwa kama wamefaya kazi kama mwapenzi isingekuwa rahisi kwao kufanikiwa hayo yote waliyofanikiwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.