Vera Sidika na Otile Brown Mapenzi Hadharani

Socialite maarufu kutoka nchini Kenya Vera Sidika amejikuta akimwagiwa mahaba na mpenzi wake ambaye ni mwanamuziki pia kutoka nchini humo anayeitwa Otike Brown.

Vera Sidika alijizolea umaarufu Afrika Mashariki kutokana na umbo  lake matata amejikuta akidondoka Kwenye penzi la kijana huyo.

download latest music    

Wawili hao wamekuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi kwa muda sasa na wameonyeshana mapenzi katika sehemu mbali mbali za hadhara Ikiwa ni pamoja na kuweka picha zao za kimahaba Kwenye mitandao ya kijamii.

Lakini hivi karibuni Otile alianika kuuwambia ulimwengu mzima kuwa anampenda Vera kwani alimuoa Kwenye moja ya shoo zake na kumpa maneno matamu mrembo:

Nakupenda sana wewe mwanamke (Vera)… wewe ni kila kitu kwangu… na kinachonivutia zaidi kwako ni jinsi ulivyoumbika… niamini, nimewaona wanawake wengi lakini upo tofauti nao sana, wewe mvumilivu, una busara na mtu spesho”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.