Video Ya Ngono Yaendelea Kumtesa Nandy

Mwanamuziki wa Bongo fleva Faustina Charles maarufu kama Nandy ameendelea kuandamwa na video yake ya ngono na aliyekuwa mpenzi wake Billnas.

Nandy ambaye kwa hivi sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ya Ninogeshe amekiri kuwa mpaka leo hii bado anapata kipindi kigumu kwa ajili ya ile video yake.

download latest music    

Nandy ambaye amekiri kuwa anatamani sana aweze kupanda usafiri wa umma maarufu kama daladala ili aweze kupata nafasi ya kukutana na mashabiki zake Uso Kwa Uso lakini ameweka iankuwa ngumu kutokana na ile video yake.

Kwenye mahojiano na Showbiz Xtra Nandy alisema kuwa, alipanga karibu mwezi mzima kufanya ziara hiyo ya kila sehemu atakayoenda atumie usafiri wa daladala ili aweze kupata nafasi nzuri ya kujua mambo mbalimbali ndani ya daladala na kuna wakati anazitamani stori za humo.

Nilipanga ndani ya mwezi mzima usafiri wangu uwe huo lakini mambo yakaingiliana na ya kusambaa ile video ya faragha kwenye mitandao ya kijamii, lakini bado dhamira yangu ipo nitafanya hivyo kwa sababu natamani kukutana na watu tofauti”.

Mwezi uliopita Nandy alipata fedheha hiyo baada ya video yake ya faragha na aliyekuwa mpenzi wake Billnas kusambaa Mtandaoni baada ya kukataa sio wapenzi kwa mara nyingi tu.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.