Video za Mahaba Kati ya Diamond na Hamisa Zazua Gumzo (video)

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz na amerudi upyaa Kwenye headlines baada ya video zake za mahaba na Baby mama wake msanii Hamisa Mobetto kusambaa mtandaoni siku ya jana.

Wawioi hao wamesha wazi kuwa maarui siku za nyuma baada ya Hamisa kusambaza picha zao wakiwa pamoja baada ya Diamond kukataa kuwa hajazaa naye lakini baadae walimaliza tofauti zao mahakamani.

download latest music    

Lakini jana Diamond na Hamisa wameonekana pamoja katika chumba kimoja huku wakikumbatiana na kushikana kitendo kilichoibua maswali mengi kwani kiukweli haijajulikana kama wapo pamoja au ni kiki.

Hizi ni baadhi tu ya video zinazowaonyesha wakiwa pamoja:

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.