Vj Penny- Siwezi Kufanya Maovu Kwenye Mwezi Huu

Mtangazaji wa televisheni Penniel Mulingwa  au maarufu kama Vj Penny ambaye aliwahi kuvuma kipindi cha Nyumba kutokana na Mahusiano Yake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Penny ambaye hivi sasa anafanya vizuri Kwenye utangazaji wa kipindi chake cha Harusi zetu kinachorushwa Magic Swahili.

download latest music    

Penny amefunguka na kueleza Bongo jinsi mwezi huu mtukufu wa Ramdhani ulivykuwa na maaana kwake kwani hana mpango wa kugombana na mtu hata akimchokoza.

Penny aliiambia Over Ze Weekend kuwa, kwa hivi sasa kila mmoja anatakiwa ajishushe kwa ajili ya kuuheshimu Mwezi wa Ramadhan kwani ndiyo wenye baraka tele.

Penny alisema mwezi huu yuko kwenye maombi mazito na kubwa zaidi analoliomba ni Mwenyezi Mungu amletee mume bora.

Siko tayari hata kama mtu amenikwaza nigombane naye hata kidogo kwa sababu pia kwenye mwezi huu niko katika maombi mazito ya vitu vingi na kimojawapo ni kumuomba Mungu anipatie mume bora”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.