Wadukuzi Wamliza Aika wa Navy Kenzo

Mwanadada kutoka katika kundi la Navy kenzo, Aikah amejikuta analizwa na wadukuzi wa mitandao baada ya akaunti yake ya instagram kuibiwa na wabbobezi wa mambo na kumfanya ashindwe kuwa na access na akaunti hiyo kwa zaidi ya masaa sasa.

Hata hivyo mwanadada huyo ameomba mashabiki zake kuwa na subira ili aweze kulishughulikia swala hilo huku akiwataka wasije kudanganywa na kujikuta wakitapeliwa kupitia jina  lake.

download latest music    

Swala la wasanii kuibiwa kaunti zao katika mtandao wa instagram imekuwa swala la kawaida huku ikishndikana kupatiwa ufumbuzi wa haraka kwa sababu msanii na kosa baadhi ya mambo hasa anapokuwa anashindwa kuwa karibu na akaunti hiyo kwa muda

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.