Wakenya wamrarua Idris Sultan baada ya kufanya hili

Idris Sultan hana pa kujificha baada ya kuwatusi Wakenya kwenye mtendao wa twitter. Mchekeshaji huyo aliomba mtu awaambie Wakenya waje Tanzania kwasababu alidai kuwa wako na shida ya unga na rangi ya ngozi.

“Someone tell Kenyans to move to Tanzania, Wana shida ya unga na skin color #TZvsKE” Idris Sultan aliandika kwa Twitter.

download latest music    

Tweet yake ilizua ghasia kwenye Twitter, Wakenya walimshambulia kwa matusi ya kila aina. Soma tweets hizo hapo chini uone venye Wakenya walimrarua Idris:

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere