Waliotembea na Mimi Wakapime UKIMWI ;-Jike shupa
Mwanadada zena abdala maadufu kama jike shupa amefunguka na kuwapa pole wale wote aliahikutoka nao kimapenzi na kuwashauri wakapime ukimwi .maneno hayo ya jike shupa yanakuja baada ya mwanadada huyo kuweka picha katika ukurasa wake wa instagrama ambazo zilizua mjadala kutokana na mapaja yake kuonekana kuwa na vipele vingi.
Katika kumsema sana katika mtandao wa instagram baadhi ya watu walianza kumsema na kumwambia kuwa ukiachana na kosa kuweka picha kazma hizo katika mtandao wa instagram lakini pia mapaja yake wala hayana hadhi ya kuwekwa katika mtandao kutokana na jinsi yalivyo.
Hata hivyo baada ya kusemwa sana , Jike shupa aliamua kuwa jibu na kusema kuwa kama kuna mtu yoyote aliwahi kutembea nae basi aende akapime ukimwi .
‘sasa watu wameona kuwa hilo ndo la maana sana , hiyo picha ni treta tu lakini ujumbe wenyewe ni kuwa kama kuna mtu aliwahi kutembea na mimi akapime maambukizi ya virusi vya UKIMWI.