Wanaume tano ambao wameonekana wakiwa katika mapozi ya kimapenzi na Wema Sepetu hivi karibuni (Picha)

Wema Sepetu ameonekana akiwa katika mapozi ya kimapenzi na wanaume watano – wote ambao ni waigizaji wa filamu za Bongo movies.

Mrembo huyo aliweka picha hizo za kitaalamu kwenye mtendao wa Instagram. Tazama hizi picha hapo chini:

download latest music    

1.Wema na Khizzer

 

2.Wema na Luckamo

 

3.Wema na Feisal Mgaza

 

4.Wema na Gambo Zigamba

 

5.Wema na Farid Uwezo

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere