Wanawake na Wanaume Siku Hizi Wote Miyeyusho tu :-Billnass

Mwanamuziki Billnass amefunguka na kutoa falsafa yake anayojua kuhusu wanawake na wanaume huku akisema kuwa kumekuwa na tabia kuwa ukikaa ukaongea na mwanamke atakuwa kila wakati akimlalamikia mwanaume kuwa ni miyeyusho, lakini ndivyo inavyokuwa hata kwa wanaume unapokaa kuwauliza kuhusu wanawake wanakwambia wao ndio miyeyusho.

Hata hivyo baada yakusema hivyo, Billnass anakuja na kumalizia kuwa basi kama owte wamekuwa wakisema kwa upande wao basi wanawake na wanaume wote lao moja tu ingawa kila mmoja anavutia upande wake.

download latest music    

ukituuliza wanaume kuhusu mapenzi tutakwambai wanawaek ndio miyeyesho, na ukiwauliza wanawake kuhusu mapenzi watakwambia kuwa wanaume ndio miyeyusho, ila kitu ambacho ukijua ni kuwa wanawake wanafanya miyeyusho yao na wanaume wanafanya miyeyusho yao, hivyo owte ni miyeyusho.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.