Wanawake Weupe Sio Ugonjwa Wangu:-Papii Kocha
Msanii wa muziki wa siku nyingi Papii Kocha kutoka familia ya viking amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake sifa kubwa ya mwanamke anyoipenda sio ra kwa sababu wanawake wenye rangi nyeupe kwake sio kitu hata kidogo.
Papii Kocha ameyasema hayo alipokuwa kaifanya mahojiano na waandishi wa habari na kuhakikisha kuwa pamoja na kwamba mwanamke huyo anaweza kumtongoza yeye lakini haimaanishi kwamba atamkubali kwa sababu ranngi nyeupe sio ugonjwa wake.
mwanamke mweupe hata anitongoze kwa njia gani huwa siwezi kumuelewa tu,maana rangi nyeupe sio ugonjwa wangu
papii kocha ambae alikuwa grezani kwa takribani miaka 14 na kuiacha familia yake ya mke na mtoto uraiani aliporudi alikuta mke wake tayari amekwisha olewa na mwanaume mwingine.