Wanawake Weupe Sio Ugonjwa Wangu:-Papii Kocha

Msanii wa muziki wa siku nyingi Papii Kocha kutoka familia ya viking amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake sifa kubwa ya mwanamke anyoipenda sio ra kwa sababu wanawake wenye rangi nyeupe kwake sio kitu hata kidogo.

Papii Kocha ameyasema hayo alipokuwa kaifanya mahojiano na waandishi wa habari na kuhakikisha kuwa pamoja na kwamba mwanamke  huyo anaweza kumtongoza yeye lakini haimaanishi kwamba atamkubali kwa sababu ranngi nyeupe sio ugonjwa wake.

download latest music    

mwanamke mweupe hata anitongoze kwa njia gani huwa siwezi kumuelewa tu,maana rangi nyeupe sio ugonjwa wangu

papii kocha ambae alikuwa grezani kwa takribani miaka 14 na kuiacha familia yake ya mke na mtoto uraiani aliporudi alikuta mke wake tayari amekwisha olewa na mwanaume mwingine.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.