Wasanii 300 Kutembelea Ujenzi wa Reli ya Kisasa.

Wasanii 300 kutoka katika makundi ya sanaa wanatarajiwa  k kufanya ziara ya kuangalia ujenzi wa reli ya kisasa kutoka jijini Dar es salaam mpaka Morogoro.

Akiongeana waandishi wa habari kiongozi wa wasanii na mratibu wa safari hiyo bwana Steve Nyerere anasema kuwa safari hiyo itawahusisha wasanii wote wa muziki, bongo movies, wacheza mpira na kila kundi linalohusu sanaa na burudani.

download latest music    

Steve anasema kuwa safari hii ni moja ya matokeo chanya ya kikao chao kilichofanyika wiki iliyopita kati yao na mkuu wa mkoa huo.safari hiyo inategemea kuanza asubui na kupitia maeneo yote ambapo reli hiyo inapita.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.