Wasanii wa Bongo Waaswa Kuacha Unafiki na Uoga.

Moja ya wanasiasa nchini, Peter msigwa amewaomba wasanii wa Tanzania kuacha kuwa wanafiki na waoga katika kutetea mambo ambayo yanakuwa na mnufaa kwa jamii hasa pale wanapoamua kufanya kwa ajili ya jamii.

Akiandika katika ukurasa wake, Peter msigwa anasema kuwa  ameona katika mitandao ya kijamii wasanii baadhi yao wakiungana na wasanii wa Uganda katika kampeni yao ya kuishinikiza serikali kumuachia mwanasiasa aliwahi kuwa msanii nchini humu Bob wine.

download latest music    

nimeona baadhi ya wasanii Tanzania wanaandika FREE BOBI WINE , jambo ambalo ni zuri lakini alipoonewa Sugu,Lissu ,Mawazzo ,Saanane,Azori  hapa Tanzania wamekaa kimya , Injustice  to one is injustice to all” Tuache unafiki  na UWOGA , Museveni Free BOBI wine, Magufuli FREE DEMEOCRACY.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.